Tuesday, October 31, 2017

FNB YAZINDUA HUDUMA YA BIMA YA FARAJA



Meneja wa Bima wa First National Bank (FNB), Masoud Mndeme (Kulia), akizingumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa Bima ya Mazishi “ Faraja Plan”, bima iliyobuniwa kwa lengo la kuwafariji wanafamilia pale mmoja wao anapofariki. (Katikati) ni Mkuu wa Kitengo cha Biasharawa FNB, Francois Botha na Msimamizi wa Mipango kutoka Kampuni ya Bima ya Metropolitan, Rachael Mwenda. Picha na Double J Blog




Baadhi ya watendaji wa benki ya FNB wakiwa wameshika vipeperushu wakati wa uzinduzi wa huduma ya bima ya faraja. Picha na Double J Blog

Sunday, October 29, 2017

SIMBA NA YANGA HAKUNA MBABE VYUMA VIMEKAZA


 Timu zikiingia Uwanjani


 Kikosi Cha Simba


 Kikosi cha Yanga




 Mashabiki wa Simba wakisahanglia


 Kichuya akishanglia bao lake dhidi ya Yanga


 Wachzaji wa Yanga wakishanglia


 Mashabiki wa Yanga


  Ajibu akipewa kadi ya njano


Kocha wa makipa wa Yanga akimpongeza Niyonzima

Thursday, October 26, 2017

AZAM FC WAZUNGUMZIA MCHEZO WAO DHIDI YA MBEYA CITY UTAKAOCHEZWA KESHO UWANJA WA CHAMAZI DAR ES SALAAM

 Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Idd, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu mchezo wao dhidi ya Mbeya City. PICHA NA DOUBLE J BLOG


 Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Idd, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu mchezo wao dhidi ya Mbeya City.PICHA NA DOUBLE J BLOG


Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffar Idd, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu mchezo wao dhidi ya Mbeya City.
PICHA NA DOUBLE J BLOG



Wednesday, October 25, 2017

KILIMANJARO MALATHON YAZINDULIWA NA WAZIRI MWENYE DHAMANA


Waziri wa Habari, Utamaduni,  Sanaa na Michezo. Dk Harrison Mwakyembe (katikati), akikata utepe kuzindua rasmi mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2018 Dar es Salaam. Wengine kutoka (kushoto) ni Meneja Masoko wa TBL Group anayesimamia Grand Malt, Warda Kimaro, Kaimu Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini, Henry Kinabo, Katibu Mkuu wa TOC, Filbert Bayi, Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo, Alex Nkenyenge, Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, Pamela Kikuli, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL Group, Thomas Kamphuis na Makamu wa Rais wa Chama Cha Riadha Tanzania, William Kallaghe. PICHA NA DOUBLE J BLOG

Tuesday, October 24, 2017

SHIRIKISHO LA SANAA ZA UFUNDI LASAINI MKATABA NA KAMPUNI YA DATA VISION


Rais wa Shirikisho la Sanaa za Ufundi Tanzania, Adrian Nyangamale (kulia), na Kaimu Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Data Vision, William Kihula, wakibadilishana  mikataba ya mradi wa Sanaa za Ufundi Tanzania Dar es Salaam jana (katikati) anyeshudia ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na michezo, Juliana Shonza. PICHA NA DOUBLE J BLOG

Sunday, October 22, 2017

KOCHA MSAIDI SIMBA MASOUD DJUMA KUSHOTO AKIWA NA MJUMBE WA TIMU HIYO, SAID TULI

Kocha msaidizi wa Simba Masoud Djuma, akiwa juu ya jukwaa akifuatilia mechi dhidi ya timu yake na Njombe Mji (kulia), Mjumbe wa Kamati ya utendaji wa timu hiyo Said Tuli mchezo uliyochezwa Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jana

Friday, October 20, 2017

SCORPION AKIWA MAHAKAMANI CHINI YA ASKALI MAGEREZA


Mtuhumiwa wa Kesi ya Kunyang’anya nna kujeruhi, Salum Njwete(Scorpion), akitoka katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala Da r es Salaam jana Kusikiliza mashitka yanayomkabiri. PICHA NA DOUBLE J BLOG



Thursday, October 19, 2017

KOCHA MSAIDIZI SIMBA, MASOUD DJUMA, WASILI LEO

 Kocha msdizi mpya kutoka nchni Rwanda aliwa amewasili kuifundisha Simba katita Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam. PICHA NA DOUBLE J BLOG





Mratibu wa timu ya Simba, Abas Ali (kulia akiongoza na kocha mpya wa timu hiyo, Masoud Djuma, wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam jana





Mratibu wa timu ya Simba, Abas Ali (kushoto), akisalimiana na kocha msaidizi mpya wa timu hiyo, Masoud Djuma, wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam jana