Saturday, August 19, 2017

TFF YAENDELEA KUTOA MAFUNZO YA SOKA KUANZIA UTOTONI

 Kocha wa Makipa wa timu ya wanawake Tanzanite, Telly Deodatus kulia, akitoa mazoezi kwa makipa wa timu hiy wakati walipokuwa wakifanya mazoezi katika Uwanja Karume Dar es Salaam Agost 19


 Watoto wanalelewa na Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF wakibeba goli wakati walipokuwa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Karume Agost 19


Kocha anayewafundisha wa wanalelewa na Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, Maalim Salehe akiwaelekeza jambo watoto hao wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Karume Agost 19

 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Zamaradi Kawawa akizungumza na waandiashi wa habari Dar es Salaam Agost 19 kuhusu kuzagaa kwa habari kuwa Serikali ya Tanzania kuzuiliwa kwa Ndege yake nchini Canada



Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Zamaradi Kawawa akizungumza na waandiashi wa habari Dar es Salaam Agost 19 kuhusu kuzagaa kwa habari kuwa Serikali ya Tanzania kuzuiliwa kwa Ndege yake nchini Canada

No comments:

Post a Comment