Sunday, September 24, 2017

JUMUIYA YA MAKHOJA WAJITOLEA DAMU KWA AJILI YA MFUKO WA TAIFA

 Baadhi ya wanajumuiya ya Khoja wakitoa damu wakati juhuiya hiyo ilipojitolea damu kwa ajili ya mfuko wa Taifa Dar es Salaam jana Picha na Double J Blog


 Mtaalamu wa afya jutoka Wizara ya afya na ustawi wa jamii, Peter Chawai akimtoa damu mmoja wa jumuiya hiyo

 Baadhi ya wanajumuiya ya Khoja wakisubili kujiandikisha kutoa damu wakati juhuiya hiyo ilipojitolea damu kwa ajili ya mfuko wa Taifa Dar es Salaam jana Picha na Double J Blog

No comments:

Post a Comment