Wednesday, September 20, 2017

WACHEZAJI YANGA WAENDELEA NA MAZOEZI BAADA YA KUSITISHA MGOMO

Makipa wa Yanga wakifanya mazoezi baada ya kuvunja mgomo katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jana

 Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina, akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mazoezi ya timu hiyo katika Uwanja Uhuru Dar es Salaam
 
 Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina (kushoto), akifanya mazoezi ka kiungo wa timu hiyo, Kabamba Tshishimbi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam

 Wachezaji wa Yanga, Haji Mwinyi (kulia) na
Baruan Akilimali, wakichuana kuwania mpira wakati wa mazoezi ya timu hiyo yalipfanyika katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam

Wachezaji wa Yanga, Tahaban Kamusoko (kulia) na, Rafael Daud wakiwania mpira
 Tshishimbi akikontroo mpira

 Kocha wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali akisimamia mazoezi ya makipa wa timu hiyo

Makocha wa Yanga

No comments:

Post a Comment