Monday, December 11, 2017

KAMPUNI YA PMM YAKWAMA KUWALIPA KWA MUDA WAKAZI WA BUGURUNI NA VINGUNGUTI DAR ES SALAAM

 Msemaji wa Kampuni ya PMM akizungumza na wakazi wa Buguruni na Vingunguti Dar es Salaam kutoana na kamuni hiyo kushindwa  kuwalipa fidia wakazi hao kwa wakat. PICHA NA DOUBLE  J BLOG
Wananchi wa Buguruni na Vingunguti Dar es Salaam wakilalamika baada ya Kampuni ya PMM kushindwa kuwalipa fidia wakazi hao kwa madai ya kutaka kuwahamisha. PICHA NA DOUBLE  J BLOG

No comments:

Post a Comment