Monday, August 24, 2020

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA KUPATA UDHAMINI KATA YA MZINGA

 

Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga, Jerry Slaa akizungumza na wakazi wa kata ya Mzinga jijini Dar es Salaam leo wakati akienda kupata udhamini kwa wakazi wa kata hiyo waliojiandikisha kupiga kura baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).


Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga, Jerry Slaa (kulia) na Mgombea Udiwani kata ya Mzinga, Job Isaack wakisalimiana na  baadhi wakazi wa kata ya Mzinga jijini Dar es Salaam leo wakati akienda kupata udhamini kwa wakazi wa kata hiyo waliojiandikisha kupiga kura baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).


Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga, Jerry Slaa (katikati) na akisalimiana na mmoja wa wazee wa kata ya Mzinga jijini Dar es Salaam leo wakati akienda kupata udhamini kwa wakazi wa kata hiyo waliojiandikisha kupiga kura baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).Kulia ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mzinga, Nyaikoba Ryoba.


Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga, Jerry Slaa (aliyevaa shati la kijani) na Mgombea Udiwani kata ya Mzinga, Job Isaack wakila chakula katika Mgahawa unaomilikiwa na Wajasiriamali wa kata ya Mzinga baada ya kuwasili katika kata hiyo jijini Dar es Salaam leo kupata udhamini wa fomu ya Ubunge kwa wakazi waliojiandikisha kupiga kura.


Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga, Jerry Slaa akizungumza na akina Mama wajasiriamali wa kata ya Mzinga jijini Dar es Salaam leo wakati akienda kupata udhamini kwa wakazi wa kata hiyo waliojiandikisha kupiga kura baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).


Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mzinga, Nyaikoba Ryoba (wa pili kushoto) akimtambulisha Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga kwa wakazi wa kata ya Mzinga jijini Dar es Salaam leo.


Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Magole, Abduly Shabani Machungi ( wa tatu kushoto) akitoa shukrani kwa wakazi wa kata ya Mzinga kwa kujitokeza kwa wingi kumdhamini Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga, Jerry Slaa ( aliyevaa shati la kijani).

HABARI KATIKA PICHA

























 

1 comment:

  1. Habari nzuri sana ila bado blo yako haujaiweka vizuri, tafadhali wasiliana na mimi niweze kukutengenezea blog yako iwe ya mwandishi professional jinsi utakavyotaka mwenyewe. muzikihuru@gmail.com

    ReplyDelete