Tuesday, August 29, 2017

GF TRUCKS EQUIPMENT YATANGAZA KUIZAMINI TIMU YA MBAO FC

 Ofisa Masoko wa Kampuni ya GF Trucks Equipment, Kulwa Bundala (katikati), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kutangaza kuizamini timu ya Mbao FC kushoto ni Mkurugenzi wa kampunin hiyo, Imran Karamal, na kulia ni Mwenyekiti wa timu hiyo, Soly Njashi
 Wakitambulisha jezi watakazo tumia timu hiyo
Mwenyekiti wa Timu ya Mbao FC, Soly Njashi kulia akiwashukuru viongozi wa Kampuni ya GF katikti. Mkurugenzi wa kampunin hiyo, Imran Karamal, kushoto ni Ofisa habari wa TFF, Alfred Lucas

No comments:

Post a Comment