Tuesday, August 29, 2017

TFF YAANDIKA UPYA NGSO YA HISANI BAADA YA KUWA NA KASORO

 Ofisa habari wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, Alfred Lucas, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salam baada ya Shirikisho hilo kuiandika upya ngao ya hisani iliyokuwa na kasoro

Ofisa habari wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, Alfred Lucas, akiwanyesha  waandishi wa habari Dar es Salam  ngao ya hisani baada ya kulekebishwa kasoro

No comments:

Post a Comment