Tuesday, August 29, 2017

TAIFA STARS WAKIFANYA MAZOEZI UWANJA WA UHURU DAR ES SALAM AGOST 29 2017

 Wachezaji wa Taifa Stars, Said Ndemla (kulia), na Elis Maguli wakiwania mpira  wakati timu hiyo ilipokuwa ikifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam Agost 29 kwa mandalizi ya mchrzo wao wa kirafiki dhidi ya Botswana

 Wachezaji wa Stars

  Wachezaji wa Stars


 Meneja wa Taifa Stars, Daniel Msangi (kulia) akimkabidhi kikombe mchezaji wa timu hiyo, Shiza Kichuya baada ya kuibuka kuwa mchezaaji aliyefunga bao zuri katika mchezo wa ligi Kuu dhidi ya Ruvu Shooting

 Shiza Kichuya akiwa ameshikilia kikombe baada ya kuibuka kuwa mchezaaji aliyefunga bao zuri katika mchezo wa ligi Kuu dhidi ya Ruvu Shooting


Kocha wa Stars,Salum Mayanga (kushoto), akizungumza na mmoja wachezaji wa timu hiyo

No comments:

Post a Comment