Saturday, August 26, 2017

SIMBA WAIPIGA RUVU SHOOTING BAO 7-0 UHURU JIJINI DAR ES SALAAM AGOST 26

 Wachezaji wa Simba wakishangilia baada ya kupata bao dhidi ya Ruvu Shooting jana
 Erasto Nyoni akiwatoka wachezaji wa Ruvu Shooting
 Mohammed Ibrahim kulia akimtoka mchezaji wa Ruvu Shooting, Manganisa Mbonosi katika mchezo wao wa ligi Kuu Tanzania bara jana Agost 26 2017
 Winga wa Simba, Shiza Kichuya kushoto, akiwania mpira na mchezaji wa Ruvu Shooting, Said Madega wakati wa mchezo wao wa ligi Kuu jana

 Okwi apiga nne (4) abeba mpira



 Kikosi cha Ruvu Shooting kilichjeza na Simba Agost 26 2017
Kikosi cha Simba kilichocheza na Ruvu Shooting Agost 26 2017

No comments:

Post a Comment