Friday, August 25, 2017

MICHEZO MBALIMBALI LEO AGOSTI 25

 Mchezaji Gofu wa Tanzania Richard Mtweve akipiga kipira wakati wa mashindano ya mchezo huo kwa nchi za Afrika uliofanyika jana katika viwanja vya GymKhana jijini Dar es Salaam
 Mchezaji Gofu wa Rwanda, James Ndikumana akitumbukiza akifunga wakati wa mashindano ya mchezo huo kwa nchi za Afrika uliofanyika jana katika viwanja vya GymKhana jijini Dar es Salaam

Mchezaji Gofu wa Ethiopia  akipiga kipira wakati wa mashindano ya mchezo huo kwa nchi za Afrika uliofanyika jana katika viwanja vya GymKhana jijini Dar es Salaam

Mchezaji Gofu wa Rwanda, Frangois H, akijiandaa kupiga kipira wakati wa mashindano ya mchezo huo kwa nchi za Afrika uliofanyika jana katika viwanja vya GymKhana jijini Dar es Salaam


Mchezaji Gofu wa Tanzania, Isace Wanyeche akipiga kipira wakati wa mashindano ya mchezo huo kwa nchi za Afrika uliofanyika jana katika viwanja vya GymKhana jijini Dar es Salaam

Mchezaji Gofu wa Tanzania, Isace Wanyeche akipiga kipira wakati wa mashindano ya mchezo huo kwa nchi za Afrika uliofanyika jana katika viwanja vya GymKhana jijini Dar es Salaam


Mchezaji Gofu wa Rwanda, Frangois H, akijiandaa kupiga kipira wakati wa mashindano ya mchezo huo kwa nchi za Afrika uliofanyika jana katika viwanja vya GymKhana jijini Dar es Salaam



Katibu wa Ubalozi wa China hapa nchini, Liu Yun (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu ubalozi huo kudhamini mashindano ya Wushu ya Kimataifa yatakayofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam, (kushoto) ni Rais wa mchezo huo hapa nchini, Mwarami Mitete. 

 Katibu Mkuu wa mchezo wa Wushu, Sempai Kapipa kushoto akizungumza na wanahabari Dar es Salaam jana kuhusu maandalizi ya mchezo huo


No comments:

Post a Comment