Monday, October 2, 2017

AZAM YAANDAA TAMASHA LA FILAM LA KIMATAIFA



Mratibu wa Tamasha la jipya la kimataifa la filam litakalojulikana kwa jina la Sinema Zetu, linalozaminiwa na Kampuni ya Azam Tv, Zamaradi Nzowa, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam juu ya kuanza kushindanish kazi za wasanii. Picha na Double J Blog





Msanii wa Filam nchini, Elizabeth Michael (Lulu), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kuteuliwa na Azam Tv kuwa balozi wa Tamasha la jipya la kimataifa la filam litakalojulikana na kwa jina la Sinema Zetu, linalozaminiwa na Kampuni ya Azam Tv, (katikati) ni Mkurugenzi wa tamasha wa   Tv, Jacob Joseph na kulia ni, mratibu wa tamasha hilo, Zamaradi Nzowa. Picha na Double J Blog
 

No comments:

Post a Comment