Sunday, October 1, 2017

TIMU YA TANZANITE YAPIGWA (6) MBELE YA WAZIRI MWAKYEMBE

 Kipa wa timu ya Tanzanaite, Gelwa Yona akiokoa mpira ulioelekezwa golini kwake wakati wa mchezo wao dhidi ya Nigeria uliochezwa katika Uwanja wa Chamazi. Picha na Double J blog

 Kikosi cha Nigeria cha wanawake

 Kikosi cha Tanzanite ya Tanzania


Mchezaji wa Tanzanite, Zainab Ati akiwatoka wachezaji wa Nigeria wakati wa mchezo wao wa kufuzu fainali za Dunia kwa wanawake waalio chini ya miaka 20 uliochezwa katika Uwanja wa Chamazi Dar es Salaam jana

No comments:

Post a Comment