Thursday, October 19, 2017

KOCHA MSAIDIZI SIMBA, MASOUD DJUMA, WASILI LEO

 Kocha msdizi mpya kutoka nchni Rwanda aliwa amewasili kuifundisha Simba katita Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam. PICHA NA DOUBLE J BLOG





Mratibu wa timu ya Simba, Abas Ali (kulia akiongoza na kocha mpya wa timu hiyo, Masoud Djuma, wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam jana





Mratibu wa timu ya Simba, Abas Ali (kushoto), akisalimiana na kocha msaidizi mpya wa timu hiyo, Masoud Djuma, wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam jana

No comments:

Post a Comment