Wednesday, October 18, 2017

SIMBA WAENDELEA NA MAZOEZI UWANJA WA UHURU DAR ES SALAAM

 Mshambuliaji wa Simba, Emannuel Okwi (katikati) akiwatoka wachezaji wenzake wakati wa mazoezi ya timu hiyo yaliofanyika katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. PICHA NA DOUBLE J BLOG

Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi ya kupiga danadana mipira wakati wa mazoezi ya timu hiyo katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salam. PICHA NA DOULE J BLOG

No comments:

Post a Comment