Sunday, March 4, 2018

KILIMANJARO MARATHON YAFANA WAKENYA BADO WATESA WACHUKUA MEDARI ZOTE KM 42


Mshindi wa kwanza mbio Km: 42 Kilmanjaro Marathon, Cosmas Muteti, kutoka nchini Kenya, akimaliza mbio zake wakati wa michuano ya hiyo iliyofanyika  Moshi mkoani Kilimanjaro jana iliyodhaminiwa na Bia ya Kiliomanjaro. 


Waziri wa Habarai Utamaduni Sanaa na Michezo. Dk, Harison Mwakyembe, kushoto, akimvisha medali mshindi wa pili wa mbio za Tigo Kilimanjaro Marathon Km 21, Failuna Abdi, Mtanzania wakati wa michuano hiyo iliyofanyika Mosho mkoani Kilimanjaro


Mshiriki wa mbio za Tigo Kilimanjaro Marathon Km 21, Joram Mollel maalufu babu: katikati, akimaliza mbio wakati wa mashindana hayo yaliofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro.

 Mshindi wa Kwanza Km 42 wanawak, Flavious Kwamboka, akimaliza mbio za Kilimanjro Marathon zilizofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro


 Wanariadha wakijianda kukimbia

 Mwanariadha akiwa amechoka

 Wanariadha wa Tigo Kilimanjaro Marathon Km 21

 Wanariadha wa Kenya Km 42 wakichuana vikali katika mashindano hayo

  Wanariadha wakipokea maji

Mwanaridha wa km 21 akikimbia katika mbio za Kilimanjaro Marathon yalioofanyika mkoani Kilimanjaro March 4 /2018

No comments:

Post a Comment