Wednesday, March 14, 2018

SERENGETI BOYS WAENDELEA NA MAZOEZI UWANJA WA KARUME DAR ES SALAAM. PICHA NA DOUBLE J BLOG

 Wachezaji wa timu ya Serengeti Boys wakifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam. PICHA NA DOUBLE J BLOG

Mkurugenzi wa benchi la ufundi wa timu za vijana, Kim Paulsen (akiwaelekeza wachezajiwa timu ya Serengeti Boys wakati walipokuwa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Karume Dar es Salaa. PICHA DOUBLE J BLOG

No comments:

Post a Comment