Wednesday, March 21, 2018

NGORONGORO HeROES YAIPIGA MSUMBIJI MABAO 2-1

 Kocha wa timu ya Vijana ya Msumbiji, Vicror Matine, akitoa maelekezezo kwa wachezaji wake hawapo pichani katika mchezo dhidi ya Tanzania


 Wachezaji wa timu ya Ngorongoro Heroes wakishingilia baada ya kupata bao la pili didi ya Msumbiji

Mashabiki wa mpira wakiishangilia timu ya Taifa ya Tanzania Ngorongoro Heroes wakati ilipokuwa ikichez na timu ya vijana ya Msumbiji

No comments:

Post a Comment