Wednesday, March 21, 2018

NGORONGORO HeROES YAIPIGA MSUMBIJI MABAO 2-1

 Kocha wa timu ya Vijana ya Msumbiji, Vicror Matine, akitoa maelekezezo kwa wachezaji wake hawapo pichani katika mchezo dhidi ya Tanzania


 Wachezaji wa timu ya Ngorongoro Heroes wakishingilia baada ya kupata bao la pili didi ya Msumbiji

Mashabiki wa mpira wakiishangilia timu ya Taifa ya Tanzania Ngorongoro Heroes wakati ilipokuwa ikichez na timu ya vijana ya Msumbiji

Wednesday, March 14, 2018

SERENGETI BOYS WAENDELEA NA MAZOEZI UWANJA WA KARUME DAR ES SALAAM. PICHA NA DOUBLE J BLOG

 Wachezaji wa timu ya Serengeti Boys wakifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam. PICHA NA DOUBLE J BLOG

Mkurugenzi wa benchi la ufundi wa timu za vijana, Kim Paulsen (akiwaelekeza wachezajiwa timu ya Serengeti Boys wakati walipokuwa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Karume Dar es Salaa. PICHA DOUBLE J BLOG

Sunday, March 4, 2018

KILIMANJARO MARATHON YAFANA WAKENYA BADO WATESA WACHUKUA MEDARI ZOTE KM 42


Mshindi wa kwanza mbio Km: 42 Kilmanjaro Marathon, Cosmas Muteti, kutoka nchini Kenya, akimaliza mbio zake wakati wa michuano ya hiyo iliyofanyika  Moshi mkoani Kilimanjaro jana iliyodhaminiwa na Bia ya Kiliomanjaro. 


Waziri wa Habarai Utamaduni Sanaa na Michezo. Dk, Harison Mwakyembe, kushoto, akimvisha medali mshindi wa pili wa mbio za Tigo Kilimanjaro Marathon Km 21, Failuna Abdi, Mtanzania wakati wa michuano hiyo iliyofanyika Mosho mkoani Kilimanjaro


Mshiriki wa mbio za Tigo Kilimanjaro Marathon Km 21, Joram Mollel maalufu babu: katikati, akimaliza mbio wakati wa mashindana hayo yaliofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro.

 Mshindi wa Kwanza Km 42 wanawak, Flavious Kwamboka, akimaliza mbio za Kilimanjro Marathon zilizofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro


 Wanariadha wakijianda kukimbia

 Mwanariadha akiwa amechoka

 Wanariadha wa Tigo Kilimanjaro Marathon Km 21

 Wanariadha wa Kenya Km 42 wakichuana vikali katika mashindano hayo

  Wanariadha wakipokea maji

Mwanaridha wa km 21 akikimbia katika mbio za Kilimanjaro Marathon yalioofanyika mkoani Kilimanjaro March 4 /2018