Mweka Hazina wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Eugenia Shayo akizungumza katika hafla hiyo.
Thursday, July 27, 2023
CRDB YAWAPA MITAJI WANACHAMA WA OMTO KUPITIA IMBEJU
Saturday, July 8, 2023
BONANZA LA KIJANA JITAMBUE LALETA NEEMA KITUNDA
Wednesday, June 7, 2023
WANACHAMA WA OMTO WANUFAIKA NA IMBEJU YA CRDB
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule ( katikati ), Diwani wa Kata ya Kitunda, Victor Vedasto ( kushoto ), Meneja wa CRDB Tawi la Ubungo, Hollo Buyamba ( wa pili kushoto) na Meneja Mradi wa CRDB Foundation, Baraka Kiyolo ( kulia) wakiserebuka wakati wa kongamano la wajasiriamali lililowezesha kupata mitaji wezeshi kwa ajili ya kinamama wajasiriamali kupitia programu ya Imbeju lililofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Meneja wa CRDB Tawi la Ubungo, Hollo Buyamba akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa kongamano la wajasiriamali lililoandaliwa na Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) ikishirikiana na benki hiyo kumwezesha mjasiriamali kupata mtaji kupitia programu yake ya IMBEJU.
Diwani wa Kata ya Kitunda, Victor Vedasto akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa kongamano la wajasiriamali lililoandaliwa na Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) ikishirikiana na Benki ya CRDB kumwezesha mjasiriamali kupata mtaji kupitia programu yake ya IMBEJU.
Meneja Mradi wa CRDB Foundation, Baraka Kiyolo akitoa elimu ya programu ya IMBEJU inavyomwezesha majsiriamali kupata mtaji wa biashara kupitia Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) wakati wa kongamano la wajasiriamali lililoandaliwa na Taasisi hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Kikundi cha Kipaji Changu kikitumbuiza wakati wa kongamano hilo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule ( kulia), Meneja wa CRDB Tawi la Ubungo, Hollo Buyamba ( wa pili kulia), Meneja Mradi wa CRDB Foundation, Baraka Kiyolo ( wa pili kushoto) na Diwani wa Kata ya Kitunda, Victor Vedasto wakiagana baada ya kumaliza kongamano.
Baadhi ya akina mama wajasiriamali wakihdhuria katika kongamano hilo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa benki ya CRDB, Kata ya Kitunda na Wakurugenzi wa taasisi mbalimbali katika makao makuu ya Taasisi hiyo yaliyopo Kitunda kabla ya kuelekea katika kongamano hilo.
Wednesday, May 24, 2023
TAASISI YA GREEN KIDS & YOUTH FOUNDATION YAWAPIGA JEKI WAJASIAMALI
Monday, March 27, 2023
TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION YAZIDI KUENDELEZA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Bi. Vaileti Mwazembe akizungumza na walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali katika hafla ya kuadhimisha mwezi wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na taasisi hiyo. Hafla hiyo imefanyika Kitunda, jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Zawadi Thomas akizungumza na walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali jijini Dar es Salaam hivi karibuni katika hafla ya kuadhimisha mwezi wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na taasisi hiyo.
. Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Fatuma Mushi ( wa tatu kushoto) akikata keki katika hafla ya kuadhimisha mwezi wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali mchango wa mkubwa wanatoa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na taasisi hiyo. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Bi. Vaileti Mwazembe na Katibu wa Taasisi hiyo, Zawadi Thomas.
Ofisa Maendeleo Kata ya Kitunda, Betty Mzava ( wa pili kulia) akizungumza na walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali jijini Dar es Salaam hivi karibuni katika hafla ya kuadhimisha mwezi wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation.
Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Fatuma Mushi akizungumza na walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali jijini Dar es Salaam hivi karibuni katika hafla ya kuadhimisha mwezi wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation.
Ofisa Mtendaji Kata ya Kivule, Ulindula Mtemi akizungumza na walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali jijini Dar es Salaam hivi karibuni katika hafla ya kuadhimisha mwezi wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation.
Baadhi ya walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali wakihudhuria katika hafla ya kuadhimisha mwezi wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation.
. Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Bi.Fatuma Mushi ( kulia) akimlisha keki Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Bi. Vaileti Mwazembe katika hafla ya kuadhimisha mwezi wa wanawake duniani iliyoandaliwa na taasisi hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Zawadi Thomas ( kulia) akikabidhi keki kwa Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Bi.Fatuma Mushi kuashiria shukrani baada ya kushiriki katika hafla ya kuadhimisha mwezi wa wanawake duniani iliyoandaliwa na taasisi hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.