Thursday, August 10, 2017

 Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jana
 Mchezaji mpya wa Yanga kutoka Falme za Kiarab, Issa Anifowoshe akiwa Uwanja wa Uhuru jana
 Hassan Kessy akifanya mazoezi ya viungo

 Wachezaji wa Yanga wakiwania mpira wakati walipokuwa wakifanya mazoezi jana

 Mchezaji mpya wa Yanga kutoka Falme za Kiarab, Issa Anifowoshe akiwa Uwanja wa Uhuru jana


Kocha wa Yanga Lwandamina kulia akiwa na wasaididhi wake wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Hisani dhidi ya Simba katika Uwanja wa Uhuru jana

No comments:

Post a Comment