Tuesday, August 29, 2017

CHAMA CHA SOKA MKOA WA DAR ES SALAAM DRFA YAVAMIWA NA MAJAMBAZI

 Mmoja wa viongozi wa DRFA akizungumza na wanhabari baada ya ofisi yao kuvamiwa na majambazi

Viongozi wa Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam DRFA wakiwa nje ya ofisi hizo baada ya kuvamiwa na majambazi jana

No comments:

Post a Comment