Tuesday, August 15, 2017

RIADHA SIMBU NA WENZAKE WWASILI JIJINI DAR ES SALAAM WAZIRI MWAKYEMBE AONGOZI MAPOKEZI

 Alfonce Simbu kushoto akiwa na wenzake baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalim Nyerere Dar es Salaam jana wakitokea nchini Uingereza walikokwenda kushiriki mashindano ya riadha ya Dunia
  Alfonce Simbu kushoto akiwasalimia wazazi wake
  Alfonce Simbu kushoto akiwa na mwanawe
  Alfonce Simbu kulia akionyesha tuzo yake
  Alfonce Simbu akiwa amepozi 
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo. Dk, Harrison Mwakyembe akipokea tuzo ya, Alfonce Simbu, baada ya kuwsili Uwanja wa ndege 
 Mmoja wa makamanda wa JKT akionesha tuzo ya Simbu
 Wazazi wa Simbu, Felex Simbu kushoto na Salome Ndandu wakionyesha tuzo ya mwana wao
 Waziri, Mwakyembe kulia akipokea bendera
Wanaridha wakikabidhi bendera kwa wazir na viongozi waliofika kuwapokea

No comments:

Post a Comment