Wednesday, August 16, 2017

VIONGOZI SIMBA NA WABUNGE VITI MAALUM CUF WATINGA MAHAKAMANI


Rais wa Simba, Evance Aveva (kushoto), na makamu wake, Geofrey Nyange (Kaburu) wakisindikizwa na Askari Magereza kuingia katika Chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Darces Salaam kusikiliza kesi inayowakabili jana.

 Baadhi ya Viongozi wa Chama Cha Wananchi CUF wakiwa katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam kusikiliza rufaa dhidi ya wabunge wa viti maalum walioachishwa ubunge na upande wa Pro Lipumba

 Wabunge wa viti Maalum CUF wakiwa katika viunga vya Mahakama Kuu Dar es Salaam jana


Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi, Uhusiano na Umma wa CUF, Mbarara Maharagande  kushoto akizungumza na wanahabari baada ya kutoka MAahakamani


Mwanasheria wa kujitegemea anayewatetea wabunge wa viti maalum CUF, Peter Kibatara akizungumza na wanahabari jana

No comments:

Post a Comment