Wednesday, November 8, 2017

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA YA KUBORESHA MTANDAO IJULIKANAYO KWA JINA LA U900 LA


Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mbando (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati alipokuwa akitangaza kuzinfua huduma mpya ya iliyopewa jina la U900’ ukiwa na lengo la kuimrisha ubora wa mtandao (kushoto) ni Meneja wa huduma wa mtandao, Emannuel Luanda. PICHA NA DOUBLE J BLOG


Meneja wa huduma ya mtandao Airtel Tanzania, Emannuel Luanda, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati alipokuwa akitangaza kuzindua huduma mpya iliyopewa jina la U900’ ukiwa na lengo la kuimrisha ubora wa mtandao (kushoto) ni
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mbando
PICHA NA DOUBLE J BLOG

No comments:

Post a Comment