Thursday, November 30, 2017

AZAM YAJITOSA KUONYESHA CHALENGE


Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam Midia, Tido Mhando (katikati), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati akitanga kuingia mkataba na baraza la vyama vya soka barani Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuonyesha mechi zote za Kombe la Challenge (kushoto) ni meneja mauzo wa azam, John Mbelle na (kulia) ni meneja uzalishaji wa azam, Chales Hillary.PICHA NA DOUBLE J BLOG

No comments:

Post a Comment