Tuesday, November 28, 2017

RAZA AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA MAJIMBO KUMI YA MKOA WA DAR ES SALAAM KWA WAZIRI MKUU



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Uzini, Mohamed Raza




 Waziri Mkuu akiangalia vifaa vya michezo




 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katikati, akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda vikombe vilivyotolewa na, Mbunge, Mohamed Raza kulia

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katikati akipokea jezi kutoka kwa Mbunge wa Uzini, Mohamed Hassam Raza, kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. PICHA NA DOUBLE J BLOG

No comments:

Post a Comment