Thursday, February 22, 2018

MEYA WA JIJI LA DAR ES SAAM, ISSA MWITA, KUSHOTO AKIZUNGUMZA NA MEYA WA MJI WA BLANTYRE NCHINI MALAWI, WILD NDIPO, JIJINI DAR ES SALAAM


Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita (kushoto), akisalimiana na mgeni wake Meya wa Jiji la Blantyre, Wild Ndipo, walipokutana akiwa na ujumbe wa madiwani watatu ofisini kwakwe na kufanya mazungumzo.
PICHA DOUBL J BLOG

Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita wa kwanza kushoto akizungumza na ujumbe wa wageni kutoka Nchini Malawi, Meya wa jiji la Blantyre Wild Ndipo katikati na madiwani wake walipomtembelea leo ofisini kwakwe. PICHA DOUBL J BLOG

No comments:

Post a Comment