Wednesday, November 22, 2017
WACHINA WANAODAIWA KUCHAFUA MAZINGIRA WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR ES SALAAM LEO
Wachafuzi wa mazingira raia wa China, wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi, baada ya kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Tuesday, November 21, 2017
BARABARA YA KIVULE YALETA USUMBUFU KWA WATUMIAJI
Magari yakipita katika mazingira magumu kutokana na barabara
ya Kitunda Kivule Dar es Salaam kuhalibika vibay. PICHA NA DOUBLE J BLOG
CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA NAFASI MBALIMBALI
Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey PolePole akizungumZa na wanahabari wakati akitangaza majina yalioteuliwa kugombea nafasi za uongozi na Halmashauri Kuu CCM NEC Dar es Salaam jana PICHA NA DOUBLE J BLOG
Wednesday, November 15, 2017
MABONDIA WASWEKWA MAHABUSU JIJINI DAR ES SALAAM
Baadhi ya mabondia wa Tanzania wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo
Baadhi ya mabondia wa Tanzania wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo kuingia kwenye chumba cha Mahabusu. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Baadhi ya mabondia wa Tanzania wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo kuingia kwenye chumba cha Mahabusu. PICHA NA DOUBLE J BLOG
MAHABARIA TANZANIA WAJIPANGA ZAIDI KUBOLESHA HUDUMA
Baadhi ya mabaharia
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Mkonda kulia akiangalia zawadi aliyopewa na mabaharia wa Tanzania wakati wa mkutano wao kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Chama caha mabaharia Tanzania Kapteni, Josiah Mwakibuja. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Mkonda kulia akipokea zawadi kutoka kwa mabaharia wa Tanzania wakati wa mkutano wao kulia ni Mtendaji Mkuu wa Chama caha mabaharia Tanzania Kapteni, Josiah Mwakibuja. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Mkonda kushoto akizungumza na viongozi wa mabaharia wa Tanzania wakati wa mkutano wao kulia ni Mtendaji Mkuu wa Chama caha mabaharia Tanzania Kapteni, Josiah Mwakibuja. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Mkonda kulia akiangalia zawadi aliyopewa na mabaharia wa Tanzania wakati wa mkutano wao kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Chama caha mabaharia Tanzania Kapteni, Josiah Mwakibuja. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Mkonda kulia akipokea zawadi kutoka kwa mabaharia wa Tanzania wakati wa mkutano wao kulia ni Mtendaji Mkuu wa Chama caha mabaharia Tanzania Kapteni, Josiah Mwakibuja. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Mkonda kushoto akizungumza na viongozi wa mabaharia wa Tanzania wakati wa mkutano wao kulia ni Mtendaji Mkuu wa Chama caha mabaharia Tanzania Kapteni, Josiah Mwakibuja. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Tuesday, November 14, 2017
Monday, November 13, 2017
LULU AHUKUMIWA MIAKA MIWLI JELA
Lulu akiwa katika masikitiko
Lulu akiwa katika gari la
Polisi kupelekwa jela kutumikia kifungo cha miaka miwili.Picha na Double J Blog
Subscribe to:
Posts (Atom)