Friday, August 4, 2017

HABARI KUTOKA YANGA LEO




Katibu Mkuu wa Yanga, Chales Mkwasa (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu kuzagaa kwa taarifa ya kugomea mwaliko wa kutambulisha jezi mpya ya timu hiyo iliyoandaliwa na Vodacom (kulia) ni Ofisa habari wa yanga, Dismas Ten na (katikati) ni Mjumbe wa kamati ya Utendaji, Salum Mkemi. Picha na Jumanne Juma





Katibu Mkuu wa Yanga, Chales Mkwasa (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Samaa leo kuhusu kuzagaa kwa taarifa ya kugomea mwaliko wa kutambulisha jezi mpya ya timu hiyo iliyoandaliwa na Vodacom (kulia) ni Ofisa habari wa yanga, Dismas Ten





Mjumbe wa kamati ya Utendaji wa Yanga, Salum Mkemi, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusiana na kuzagaa kwa taarifa za  kugomea mwaliko wa kutambulisha jezi mpya ya timu hiyo iliyoandaliwa na Vodacom.  Picha na Jumanne Juma




Mjumbe wa kamati ya Utendaji wa Yanga, Salum Mkemi, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusiana na kuzagaa kwa taarifa za  kugomea mwaliko wa kutambulisha jezi mpya ya timu hiyo iliyoandaliwa na Vodacom (kulia) ni Ofisa habari wa yanga, Dismas Ten. Picha na Jumanne Juma

No comments:

Post a Comment