Friday, August 18, 2017

WAKAZI WA VINGUNGUTI NA VITONGOJI VYAKE WAZOA MAFUTA BAADA YA KONTENA LILILOKUWA LIMELIBEBA KUANGUKA AGOSTI 18 JIJINI DAR ES SALAAM

 Wakazi wa Vingunguti Dar es Salaam wakitafuta namna ya kulitoboa Kontena la mafuta baada ya kuanguka jana





Wakazi wa wakazi wa Vingunguti Dar es Salaam wakiteka mafuta katika mtaro wa maji machafu baada ya kontena la mafuta kuanguka jana

 
 Mmoja wa wakazi wa Vingunguti Dar es Salaam akiteka mafuta katika mtaro wa maji machafu baada ya kontena la mafuta kuanguka jana


 Wakazi wa Vingunguti Dar es Salaam wakiwa wamelinzunguka Kontena la mafuta wakiyateka



 Mmoja wa watuhumiwa liotoboa kontena hilo akiwa chini ya ulinzi wa Polisi walofika katika tukio hilo


 Wafanyakazi wa Murzah Complex wakikinga mafuta baada ya wananchi kutoboa kontena hilo

 Kontena la lililobeba mafuta ya kupikia likipakiwa kwenye gari

 Wakizoa mafuta yaliomwagia chini












Video ya wateka mafuta ya kula wakati kontena lilipo anguka

No comments:

Post a Comment