Wednesday, September 27, 2017

LWANDAMINA NA MENEJA WA YANGA, HAFIDH SALEH WAOKOA JAHAZI MGOGORO WA MCHEZAJI WAO NA MPIGA PICHA WA NEW HABARI 2006 LIMITED

 Kocha wa Yanga, George Lwandamina (katikati) akimuomba mpiga picha wa New habar, John Dande (kulia) kumsamehe mhezaji wa timu hiyo, Obrey Chirwa kutokana na kitendo alichomfanyia
cha kumshambulia mwilini
 Kocha wa Yanga, George Lwandamina (katikati) akimuomba mpiga picha wa New habar, John Dande (kulia) kumsamehe mhezaji wa timu hiyo, Obrey Chirwa kutokana na kitendo alichomfanyia


Mchezaji wa Yanga, Obrey Chirwa wa pili (kushoto), akimkataza mpiga picha asipige picha wakati wa kusuruhisha mgogoro wake na mpiga picha wa Kampuni ya New habari 2006 LTD, John Dande kutokana na mchezaji huyo kupiga

No comments:

Post a Comment