Thursday, September 28, 2017

VODACOM NA TAASISI YA BRIDGE FOR CHANGE WAPAMBANA KUENDELEZA UWEZO WA WANAFUNZI MASHULENI WAKABIDHI KOMPYUTA KWA SHULE ZA MIEMBE SABA NA KILANGALANGA ZOTE ZA MLANDIZI MKOANI PWANI

 Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Vodacom Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondary, Miembe Saba iliyopo Mlandizi Mkoa wa Pwani juzi baada ya kuwakabidhi Kompyuta ili kujiongezea uwezo katika masomo ambapo kampuni hiyo ilikabidhi pia kompyuta nyingine kwa Shule Kilangalanga mkoani humo kwa kushirikiana na Taasisi ya Bridge For Change. PICHA NA DOUBLE J BLOG


 Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Vodacom Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondary, Miembe Saba na Shule ya Sekondary, Kilangalanga zilizopo Mlandizi Mkoa wa Pwani juzi baada ya kuwakabidhi Kompyuta ili kujiongezea uwezo katika masomo


 Wanafunzi wa Shule ya Sekondary Kilangalanga wakiwa wamebeba kompyuta walizo kabidhiwa na Vodacom Tanzania

 Mkurugenzi na mwanzilishi wa Taasisi ya Bridge For Change, Ocheck Msuva, akizungumza wakati wa hafla ya kuwakabidhi Kompyuta za kujiongezea uwezo katika masomo kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania


Katibu Tawala Wilaya ya Kibaha, Sozi Ngate (kulia) akipokea Kompyuta kwa niaba ya wanafunzi wa Shule za Sekondary, Miembe Saba na Kilangalanga, kutoka kwa viongozi wa Vodacom na Taasisi ya Bridge For Change katika hafla iliyofanyika mkoani humo. PICHA NA DOUBLE J BLOG
 Ofisa Mahusiano wa Vodacom, Matina Nkurlu akitoa neno la shukran baada ya Kampuni hiyo kukabizi Komputya


No comments:

Post a Comment