Thursday, September 21, 2017

MABONDIA WA TIMU YA TAIFA WAFANYA MAZOEZI YA KUJIANDAA NA MICHUANO YA MADOLA


Mabondia wa timu ya Taifa, Ismair Ngalikama (kulia) na Mwarami Ngayama, wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Ndani wa Taifa Dar es Salaam jana kwa maandalizi ya michuano ya madola. 

 Mabondia wa timu ya Taifa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa ndani wa Taifa Dar es Salaam jana. Picha zote na Double J Blog

Mabondia wa timu ya Taifa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa ndani wa Taifa Dar es Salaam jana

No comments:

Post a Comment