Thursday, September 21, 2017

YANGA WAENDELEZA MAZOEZI KATIKA UWANJA WA UHURU

 Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina kulia akimpa maelekezo mchezaji wake, Ninja

 Kipa wa Yanga, Beno Katolanya

 Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina kulia akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Uhuru jana

  Ngoma kushoto akiwatoka wenzake

 Ngoma kushoto akipamban  na Hassan Kessy

Kocha wa Yanga, Lwandamina kulia na Kamusoko wakijadili jambo

No comments:

Post a Comment