Friday, September 22, 2017

WANAFUNZI VIZIWI WASHEREHEKEA SIKU YA VIZIWI DUNIANI

 Wanafunzi wa Shule ya msingi viziwi Buguruni Dar es Salaam wakicheza ngoma wakati wa maandimisho ya siku ya viziwi duniani septemba 22

 Diwani wa Kata ya Buguruni, Adam Rajabu (katikati), akicheza muziki wa wanafunzi wa viziwi wakati wa maadhimisho yao duniani kote

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi, Mirembe Kulwa, akicheza muziki na wanafunzi viziwa wa Shule hiyo wakati wa maadhimisho ya siku ya viziwi duniani

No comments:

Post a Comment