Wakazi wa Kigogo Dar es Salaam wakijinasua kutoka katika maji baada ya nyumba zao kujaa maji kutokana na mafuliko yaliotokea jijini humo leo
Mkazi wa Kigogo Dar es Salaam akili kwa uchungu baada ya mali zake kusombwa na maji
Waumini wa Kiislam katika Msikiti wa Kigogo Dar es Salaam wakitoka nje ya msikiti huo baada ya kujaa maji
Wakazi wa Kigogo Dar es Salaam wakimsaidia mmoja wa kutoka katika maji baada ya
nyumba zao kujaa maji kutokana na mafuliko yaliotokea jijini humo leo
No comments:
Post a Comment