Wednesday, November 1, 2017

 Wakazi wa Kigogo Dar es Salaam wakijinasua kutoka katika maji baada ya nyumba zao kujaa maji kutokana na mafuliko yaliotokea jijini humo leo

 Mkazi wa Kigogo Dar es Salaam akili kwa uchungu baada ya mali zake kusombwa na maji


 Waumini wa Kiislam katika Msikiti wa Kigogo Dar es Salaam wakitoka nje ya msikiti huo baada ya kujaa maji



 Wakazi wa Kigogo Dar es Salaam wakimsaidia mmoja wa  kutoka katika maji baada ya nyumba zao kujaa maji kutokana na mafuliko yaliotokea jijini humo leo


No comments:

Post a Comment