Tuesday, December 5, 2017

MUHIMBILI WAFANYA UPASUAJI MKUBWA


Daktari Bingwa wa upasuaji ubongo na uti wa mgongo, Nicephorus Rutabasibwa (kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Muhimbili Kitengo cha Mifupa (MOI), Dk. Respiaus Boniface na Ofisa Ustawi (kushoto), Sophia Nasson, wakiwa na Anna Mwarabu aliyembeba mtoto wake aliyefanyiwa upasuaji mkubwa wa kichwa katika hospitali hiyo, Dar es Salaam. PICHA NA DOUBLE J BLOG

No comments:

Post a Comment