Tuesday, December 5, 2017

WABUNGE WA TANZANIA WAWAFUNGA WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI


Mbunge wa Tanzania, Salma Kikwete, akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji  wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Kyomuliangi Charllote, katika mchezo wa netiboli uliofanyika katika Uwanja wa Ndani wa Taifa jana, katika mashindano ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. PICHA NA DOUBLE J BLOG

No comments:

Post a Comment