Wednesday, December 27, 2017

YANGA WAPIGA TIZI LA KUFA MTU KWA AJILI YA MAANDALIZI YA MECHI DHIDI YA MBAO FC YA MWANZA

 Wachezaji wa Yangawakifanya mazoezi ya kukimbia wakati wakipokuwa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa ligi Kuu dhidi ya Mbao FC ya jijini Mwanza

 Wachezaji wa Yanga wakifanuya mazoezi ya mwishomwisho kwa ajili ya mcchezo wao dhidi ya Mbao FC

Tashishimbi, kushoto akichuana na, Hassan Kessy, wakati walipokuwa wakifanya mazoez kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment