Wednesday, January 10, 2018

YANGA YATOLEWA MICHUANO YA KOMBE LA MAPINDUZI NA URA YA UGANDA PICHA NA DOUBLE J BLOG

 Winga wa Yanga, Emannuel Martin katikati, akijalibu kuwatoka wachezji wa URA
 Mchezaji wa Yanga, Ibrahim Ajib kulia, akipambana na mchezaji wa URA, Kabaga Nicholas, wakati wa mchezo wa Nusu Fainal ya Kombe la Mapinduzi
Mshambuliaji wa Ynga, Obrey  Chirwa, katikati, akiwaruka wachezaji wa URA ya Uganda katika mchezo wao wa Nusu Fainali ya michuano ya kombe laMapinduzi uliofanyika kwenye Uwanja wa  Amani PICHA NA DOUBLE J BLOG

No comments:

Post a Comment