Wednesday, February 21, 2018

ASASI ZA HAKI ZA BINADAMU ZALALAMIKIA UVUNJIFU WA HAKI TANZANIA

Mkurugenzi wa Umoja wa Asasi za Haki za bindamu Tanzania, Onesmo  Olengurumwa (kushoto), akizunumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu zinazoendelea hapa nchini kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Haki za binadamu (LHRC), Paul Mikongoti.PICHA NA DOUBLE J BLOG

No comments:

Post a Comment