Wednesday, February 7, 2018

BUNGE LA KUMI KIKAO CHA SITA CHAWASHA MOTO DODOMA

 Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa akiuliza swali Bungeni mjini Dodoma katika kikao cha sita bunge la kumi. PICHA NA DOUBLE J BLOG

 Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, CCM na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akijadili jambo ndani ya ukumbi wa Bunge Dodoma wakati wa kikao cha sita bunge la kumi

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangala kushoto, na Waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo, Dk. Harison Mwakyembe wakisiliza hoja iliyoelekezwa wizara ya Maliasili Bungeni Dodoma kikao cha sita bunge la kumi

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Adelardus Kilangi kushoto akiteta jambo na Waziri wa Sheria na Katiba, Profesa, Palamagamba Kabudi Bungeni Dodoma juzi. PICHA  NA DOULBE J BLOG

No comments:

Post a Comment