Thursday, September 7, 2017

VIJANA SERENGETI BOYS CHINI YA MIAKA 18 WAANZA MAZOZI

 Vijana Serengeti Boys chini ya umri wa miaka 18 wakiwa mazoezini katika Uwanja wa Karume Dar es Salaam

  Vijana Serengeti Boys chini ya umri wa miaka 18 wakiwa mazoezini katika Uwanja wa Karume Dar es Salaam

 Vijana Serengeti Boys chini ya umri wa miaka 18 wakiwa mazoezini katika Uwanja wa Karume Dar es Salaam

Wednesday, September 6, 2017

SIMBA WAPIGA TIZI LA KUIUWA AZAM KATIKA UWANJA WA UHURU

 Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jana. Picha Zote na Jumanne Juma

  Kocha Mkuu  wa Simba, Joseph Omog kulia na msaidizi wake, James Mayanja wakijadiliana


Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi


 Mshambuliaji wa Simba, John Bocco akifunga vizuri kiatu chake
Kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima kushoto, akijaribu kuwatoka wachezaji wenzake wakati wa mazoezi yaliofanyka katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam Septemba 6

 John Bocco katikati akiwatoka wachezaji wenzake

John Bocco katikati akiwatoka wachezaji wenzake

Tuesday, September 5, 2017

MANJI AANZA KUFURAI

Mfanyabiashara maalufu, Yusuf Manji kulia akiwa na skari kanzu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana

DARASA LA SABA KUMALIZA INGWE YA MSINGI ALHAMISI

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA) Dk. Charles Msonde (kushoto) akizungumza na waanishi wa habari Dares Salaam jana kuhusu wanafunzi wa darasa la saba kufanya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi 

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA) Dk. Charles Msonde (kushoto) akizungumza na waanishi wa habari Dares Salaam jana kuhusu wanafunzi wa darasa la saba kufanya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi (kushoto) ni Naibu Katibu Mtendaji, Athumani Salumu

Sunday, September 3, 2017

SIMBA WAIPIGA HARD ROCK YA ZANZIBAR 5-0 KATIKA MECHI Y KIRAFIKI ILIYOFANYIKA KWENYE UWANJA WA UHURU DAR ES SALAAM,

 Simba ikishangilia

 Wachezaji wa Simba wakishangilia



Biki wa Simba, Mohamed Husein (TShabalala) juu, akiwa ameluka kwanja la mchezaji timu ya Hard Rock kutoka Zanzibar, Mussa Mude wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salam jana Simba imeshinda mabao 5-0. Picha na Jumanne Juma




BIASHARA YA MBUZI

 Mkazi wa jjini Dar es Salaam akiwa amebeba mbuzi kwa ajili ya biashara katika eneo la Jangwani Dar es Salaam

Mkazi wa jjini Dar es Salaam akiwa amebeba mbuzi kwa ajili ya biashara katika eneo la Jangwani Dar es Salaam

TIMU YA UHAMIAJI YAFANYA MAZOEZI KUJIANDAA NA MASHINDANO YAJAYO KWENYE UWANJA WA UHURU DAR ES SALAAM


Wachezaji wa timu ya Uhamiaji wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam


Wachezaji wa timu ya Uhamiaji wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam


Wachezaji wa timu ya Uhamiaji wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam