Wednesday, October 11, 2017

TIMU YA NGUMI YA URAFIKI YAENDELEA NA MAZOEZI UWANJA WA KINESI DAR ES SALAAM


Kocha wa Klabu ya ngumi ya Urafiki, Abdul Mngweno (kulia), akiwaelekeza Mbondia wake, Mohamed Ismail (kushoto) na Mkude Somba, wakati wa mazoezi 
yaliyofanyika jana Dar es Salaam. 

Tuesday, October 10, 2017

PICHA ZA MAHAKAMA YA KISUTU LEO


 Wahamiaji wa kesi ya meno ya Tembo wakitoka katika  chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana kwa ajili ya kusikiliza kesi inayo wakabili.



Wahamiaji haramu kutoka nchni Ethiopia wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana kwa ajili ya kusikiliza kesi inayo wakabili

Saturday, October 7, 2017

TAIFA STARS TASHINDWA KUTAMBA MBELE YA MALAWI WALAZMISHWA SALE UWANJA WA UHURU


 Baadhi ya watumbuizaji kutoka kampuni ya Serengeti ambao ni wadhamini wa timu ya Taifa Stars. Picha na Double J Blog

 Waziri Mwakyembe akisalimiana na wachezaji wa taifa stars


 Kikosi cha Taifa Stars

 Kikosi cha timu ya taif ya Malawi

 Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kushoto, akimuadaa mchezaji wa timu ya Taifa ya Malawi, Banda John, wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika ktika Uwanja wa Uhuru Dar es Salam jana




Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta katikati, akiwatika wachezaji wa timu ya Taifa ya Malawi wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika ktika Uwanja wa Uhuru Dar es Sala

AZAM WAIPIGA NGORONGORO HEROES BAO 1-0 KATIKA MCHEZO WA KIRAFIKI



Mchezaji wa Azam FC, Yahya Said (kushoto), akimiliki mpira huku akizongwa na wachezaji wa timu ya vijana Ngorongoro Heroes, wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika katika viwanja vya Jakaya Kikwete Dar es Salaam jana.





Mchezaji wa Azam FC, Enock Atta (katikati), akiwatoka  wachezaji wa timu ya vijana Ngorongoro Heroes, wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika katika viwanja vya Jakaya Kikwete Dar es Salaam jana.