Sunday, March 4, 2018

KILIMANJARO MARATHON YAFANA WAKENYA BADO WATESA WACHUKUA MEDARI ZOTE KM 42


Mshindi wa kwanza mbio Km: 42 Kilmanjaro Marathon, Cosmas Muteti, kutoka nchini Kenya, akimaliza mbio zake wakati wa michuano ya hiyo iliyofanyika  Moshi mkoani Kilimanjaro jana iliyodhaminiwa na Bia ya Kiliomanjaro. 


Waziri wa Habarai Utamaduni Sanaa na Michezo. Dk, Harison Mwakyembe, kushoto, akimvisha medali mshindi wa pili wa mbio za Tigo Kilimanjaro Marathon Km 21, Failuna Abdi, Mtanzania wakati wa michuano hiyo iliyofanyika Mosho mkoani Kilimanjaro


Mshiriki wa mbio za Tigo Kilimanjaro Marathon Km 21, Joram Mollel maalufu babu: katikati, akimaliza mbio wakati wa mashindana hayo yaliofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro.

 Mshindi wa Kwanza Km 42 wanawak, Flavious Kwamboka, akimaliza mbio za Kilimanjro Marathon zilizofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro


 Wanariadha wakijianda kukimbia

 Mwanariadha akiwa amechoka

 Wanariadha wa Tigo Kilimanjaro Marathon Km 21

 Wanariadha wa Kenya Km 42 wakichuana vikali katika mashindano hayo

  Wanariadha wakipokea maji

Mwanaridha wa km 21 akikimbia katika mbio za Kilimanjaro Marathon yalioofanyika mkoani Kilimanjaro March 4 /2018

Wednesday, February 28, 2018

Thursday, February 22, 2018

MEYA WA JIJI LA DAR ES SAAM, ISSA MWITA, KUSHOTO AKIZUNGUMZA NA MEYA WA MJI WA BLANTYRE NCHINI MALAWI, WILD NDIPO, JIJINI DAR ES SALAAM


Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita (kushoto), akisalimiana na mgeni wake Meya wa Jiji la Blantyre, Wild Ndipo, walipokutana akiwa na ujumbe wa madiwani watatu ofisini kwakwe na kufanya mazungumzo.
PICHA DOUBL J BLOG

Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita wa kwanza kushoto akizungumza na ujumbe wa wageni kutoka Nchini Malawi, Meya wa jiji la Blantyre Wild Ndipo katikati na madiwani wake walipomtembelea leo ofisini kwakwe. PICHA DOUBL J BLOG

Wednesday, February 21, 2018

UUSAILI MABONDIA WA MKOA WA DAR ES SALAAM WAKAMILIKA

Baadhi ya mabondia wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwa nje ya Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana baada ya kuchaguliwa kuwakilisha Mkoa. PICHA NA DOUBLE J BLOG

ASASI ZA HAKI ZA BINADAMU ZALALAMIKIA UVUNJIFU WA HAKI TANZANIA

Mkurugenzi wa Umoja wa Asasi za Haki za bindamu Tanzania, Onesmo  Olengurumwa (kushoto), akizunumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu zinazoendelea hapa nchini kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Haki za binadamu (LHRC), Paul Mikongoti.PICHA NA DOUBLE J BLOG