Wednesday, September 20, 2017

TIMU YA KMC YA KINONDONI DAR ES SALAAM YAJIFUA KWA MICHUANO YA LIGI DARAJA LA KWANZA

 Wachezaji wa Timu ya KMC wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kwa ajili ya michuano ya ligi daraja la kwaja Tanzania bara jana

Wachezaji wa Timu ya KMC wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kwa ajili ya michuano ya ligi daraja la kwaja Tanzania bara jana


WACHEZAJI YANGA WAENDELEA NA MAZOEZI BAADA YA KUSITISHA MGOMO

Makipa wa Yanga wakifanya mazoezi baada ya kuvunja mgomo katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jana

 Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina, akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mazoezi ya timu hiyo katika Uwanja Uhuru Dar es Salaam
 
 Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina (kushoto), akifanya mazoezi ka kiungo wa timu hiyo, Kabamba Tshishimbi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam

 Wachezaji wa Yanga, Haji Mwinyi (kulia) na
Baruan Akilimali, wakichuana kuwania mpira wakati wa mazoezi ya timu hiyo yalipfanyika katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam

Wachezaji wa Yanga, Tahaban Kamusoko (kulia) na, Rafael Daud wakiwania mpira
 Tshishimbi akikontroo mpira

 Kocha wa makipa wa Yanga, Juma Pondamali akisimamia mazoezi ya makipa wa timu hiyo

Makocha wa Yanga

Saturday, September 16, 2017

YANGA NA MAJIMAJI HAKUNA MBABE WAFUNGANA BOA, 1-1

 Mashabiki wa Yanga
 Mashabiki wa Yanga

 Mashabiki waMajimaji ya Songea

 Kikosi cha Yanga kilicho cheza na Majimaji

 Mashabiki wa Yanga


 Kikosi Cha Majimaji ya Songea

 Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma (kushoto) akijalibu kumtoka mchezaji wa Majimaji ya Songea, Tumba Suwed  katika  mchezezo wao wa ligi Kuu Tanzania bara uliofanyika katika Uwanja wa Majimaji jana

  Mashabiki wa Soka wakiwa juu ya miti mjini Songea

 Wachezaji wa Majimaji wakishangilia baada ya kupata bao la kuongoza dhidi ya Yanga

  Mashabiki wa Majimaji

 Shabiki wa Yanga

  Mashabiki wa Majimaji




  Msha,buliaji wa Yanga, Obrey Chirwa kulia, akimtoka mchezaji wa Majimaji, Juma Salamba

 Wachezaji wa Yanga wakishangilia baada ya kupata bao la kusawazisha







 Ngoma akipiga mpira kichwa na kufunga bao la kusawazisha



Mchezaji wa Yanga, Emmanuel Martin akitolewa nje baada ya kuumizwa na mcheza wa Majimaji

BIASHARA SOKO LA MANZESE LILILOPO MKOANI SONGEA

 Wafanyabiashara Soko la Manzese ililopo Songea wakisubili wakisubili wateja


Wafanyabiashara Soko la Manzese ililopo Songea wakisubili wakisubili wateja

Wednesday, September 13, 2017

SIMBA WANDELEA NA MAZOEZI BAADA YA SIKU CHACHE KUTOKA SALE NA AZAM

 Kocha wa Simba, Joseph Omog kushoto akitoa maelekezo mchezaji wake

  Kocha wa Simba, Joseph Omog kushoto akitoa maelekezo mchezaji wake, Said Ndemla


 Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi ya kukimbia
 Kumiliki mpira
  Kocha, Omog kushoto akimwambia kipa wa timu hiyo kuwa umenenepa


  Tunafanyaga hivi

 Mwinyi Kazimoto akiluka

 Mohamed Hussein

  Kotei

  Wakikontroo mpira





  Kipa wa Simba Aishi Manula