Monday, March 27, 2023

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION YAZIDI KUENDELEZA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Bi. Vaileti Mwazembe akizungumza na walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na taasisi hiyo. Hafla hiyo imefanyika Kitunda, jijini Dar es Salaam hivi karibuni. 


Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Zawadi Thomas akizungumza na walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali jijini Dar es Salaam hivi karibuni katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na taasisi hiyo. 

. Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Fatuma Mushi ( wa tatu kushoto) akikata keki katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali  mchango wa mkubwa wanatoa  katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na taasisi hiyo. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Bi. Vaileti Mwazembe na Katibu wa Taasisi hiyo,  Zawadi Thomas.

Ofisa Maendeleo Kata ya Kitunda, Betty Mzava ( wa pili kulia) akizungumza na walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali jijini Dar es Salaam hivi karibuni katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na Taasisi ya  Green Kids and Youth Foundation.

Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Fatuma Mushi  akizungumza na walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali jijini Dar es Salaam hivi karibuni katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na  Taasisi ya  Green Kids and Youth Foundation.

Ofisa Mtendaji Kata ya Kivule, Ulindula Mtemi akizungumza na walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali jijini Dar es Salaam hivi karibuni katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na  Taasisi ya  Green Kids and Youth Foundation.

Baadhi ya walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali  wakihudhuria katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na  Taasisi ya  Green Kids and Youth Foundation.

. Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Bi.Fatuma Mushi ( kulia) akimlisha keki Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Bi. Vaileti Mwazembe katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani iliyoandaliwa na taasisi hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.


Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Green Kids and Youth Foundation, Zawadi Thomas ( kulia) akikabidhi keki kwa Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Bi.Fatuma Mushi  kuashiria shukrani baada ya kushiriki katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani iliyoandaliwa na taasisi hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.







Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Bi.Fatuma Mushi  akikabidhi vyeti vya shukurani kwa walimu,watumishi wa afya, wafanyakazi wa serikalini na binafsi pamoja na wajasiriamali jijini Dar es Salaam hivi karibuni katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani ikiwa ni pamoja na kuwatambua mchango wao mkubwa katika kutetea unyanyasaji wa kijinsia na kuwatia moyo na kudumisha mahusiano bora na  Taasisi ya  Green Kids and Youth Foundation.




Meneja Biashara wa Benki ya CRDB, Bi.Fatuma Mushi  akipiga picha ya pamoja na wanachama wa Taasisi ya  Green Kids and Youth Foundation  katika hafla ya kuadhimisha mwezi  wa wanawake duniani iliyoandaliwa na taasisi hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.











Saturday, March 4, 2023

WAKAZI WA TABATA WAKUTANA NA NEEMA YA TUWODO

Friday, October 7, 2022

TAASISI YA OMTO YAZINDUA MRADI WA PIKIPIKI KUADHIMISHA MIAKA 3 YA TAASISI HIYO.

 

Mwenyekiti wa Sauti ya Wanawake Tanzania, Maida Waziri akikata utepe kuzindua mradi wa bodaboda wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) wakati wa maadhimisho ya miaka 3 ya kuzaliwa kwa taasisi hiyo ( Omto Vicoba day) yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kerezange jijini Dar es Salaam leo.


Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule ( kushoto ) na Mwasisi wa Vicoba Endelevu, Devotha Likokola (kulia) wakiwa katika maandamano na baadhi wa wanawake wajsiriamali wakati wa maadhimisho ya miaka 3 ya kuzaliwa kwa taasisi hiyo ( Omto Vicoba day) yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kerezange jijini Dar es Salaam leo.


Diwani wa Kata ya Kitunda, Victor Vedasto (katikati) akimkabidhi cheti cha shukrani Mwasisi wa Vicoba Endelevu, Devotha Likokola ( kulia) wakati wa maadhimisho ya miaka 3 ya kuzaliwa kwa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kerezange jijini Dar es Salaam leo. Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Anna Haule.


Diwani wa Kata ya Kitunda, Victor Vedasto akikabidhi msingi wa biashara kutoka kwa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) kwa mmoja wa wazee wakati wa maadhimisho ya miaka 3 ya kuzaliwa kwa taasisi hiyo ( Omto Vicoba day) yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kerezange jijini Dar es Salaam leo.


Diwani wa Kata ya Kitunda, Victor Vedasto akikabidhi vifaa vya shule kutoka kwa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) kwa mmoja wa watoto wakati wa maadhimisho ya miaka 3 ya kuzaliwa kwa taasisi hiyo ( Omto Vicoba day) yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kerezange jijini Dar es Salaam leo.


Mwenyekiti wa Sauti ya Wanawake Tanzania, Maida Waziri akizungumza wakati wa wakati wa maadhimisho ya miaka 3 ya kuzaliwa kwa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kerezange jijini Dar es Salaam leo.


Mwasisi wa Vicoba Endelevu, Devotha Likokola ( kulia) akizungumza wakati wa wakati wa maadhimisho ya miaka 3 ya kuzaliwa kwa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kerezange jijini Dar es Salaam leo.]


Mwenyekiti wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Athumani Kigwe ( kulia ) na Mwanachama wa Taasisi hiyo, Twaha Sadiki ( waliopanda pikipiki)  wakijaribu pikipiki baada ya kukabidhiwa na taasisi hiyo wakati wa maadhimisho ya miaka 3 ya kuzaliwa kwa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kerezange jijini Dar es Salaam leo.


Baadhi ya Wanachama wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) wakimuaga Mwenyekiti wa Sauti ya Wanawake Tanzania, Maida Waziri wakati wa maadhimisho ya miaka 3 ya kuzaliwa kwa taasisi hiyo ( Omto Vicoba day) yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kerezange jijini Dar es Salaam leo.












 

Wednesday, June 29, 2022

MAAJABU YA BIDHAA ZA LG SMART HOME , UOKOA NISHATI NA MUDA

 Na Mwandishi Wetu

• Faida kuu za vifaa Vya Nyumbani vya LG ni pamoja na kutoa urahisi na uharaka wa kutumia vifaa kama TV na friji, utendakazi ulioboreshwa kupitia teknolojia ya Upelelezi wa Artificial Intelligence (AI) kwa washer na kuokoa nishati kwa viyoyozi.

• Teknolojia mpya iliyobuniwa na Kampuni ya LG inayosifiwa kwa kusaidia kuhifadhi nishati na maji, kuwa rafiki wa mazingira huku ikitumika kwa urahisi, hivyo basi kukuza malengo muhimu ya maendeleo endelevu.

DAR ES SALAAM, TANZANIA, 29 JUNI 2022… Watanzania sasa wanaweza kuishi maisha rahisi, ya vitendo na rahisi zaidi wakiwa na Bidhaa za LG zilizoletwa hivi Karibuni, vifaa mahiri vya nyumbani vinavyolenga kukidhi mahitaji mengi, na kazi za kila siku zenye changamoto.

Bidhaa kama Majokofu, Microwave, televisheni na mashine za kufulia nguo, vifaa mahiri vya nyumbani vitakavyoweka muonekano wa kidijitali nyumba za Watanzania , kwa maana kwamba vifaa hivi kutoka kampuni ya LG havitoi kelele za aina yeyote wakati wa matumizi na kuifanya nyumba kuwa shwari na tulivu huku shughuli nyingine zikiendelea.

Akizungumzia ubunifu wa bidhaa bora za nyumbani za hivi karibuni, Mkurugenzi Mtendaji wa LG Electronics Afrika Mashariki, Sa Nyoung Kim alisema, "hatua ya kuweka vyumba vya kuishi, jikoni na vyumba vingine vyovyote katika nyumba za Watanzania kuwa za kidijitali imechochewa na dhamira yetu ya kuweka vipaumbele kwa urahisi na faraja kwa ajili ya wateja wetu. Ili sisi sote kufikia hili, lazima kuwe na usambazaji wa kutosha wa vifaa vya nyumbani ”.

Kulingana na uchunguzi wa hivi majuzi wa LG ThinQ Smart Home Report, 17.3% ya watumiaji waliohojiwa walichagua uokoaji wa nishati kama manufaa makubwa zaidi ya nyumbani. Faida nyingine kuu zilizotajwa katika utafiti huo ni pamoja na urahisi na usalama wa kutumia kwa TV na friji na utendakazi bora kupitia teknolojia ya Artificial Intelligence (AI) kwa washer na kuokoa nishati kwa viyoyozi.

Miongoni mwa vifaa muhimu vya nyumbani vilivyoletwa na LG nchini ni pamoja na Televisheni za Smart OLED zinazoendeshwa na teknolojia ya hali ya juu ya akili ya bandia ambayo hufanya nyumba kuwa nzuri na rahisi. Televisheni zimeunda vichakataji vya AI ambavyo huchanganua yaliyomo kwenye skrini ili kuyarekebisha kwa sauti, picha na video bora zaidi kulingana na mazingira ya mtumiaji .

Kando na hilo, TV zina kipengele cha akili cha utambuzi wa sauti ambacho huwezesha watumiaji kuzidhibiti kwa amri rahisi. Pia hutoa dashibodi ya nyumbani inayoonyesha hali ya vifaa vingine mahiri vya nyumbani na kuwaarifu watumiaji kuhusu hali yoyote ambayo watumiaji wanapaswa kufahamu, kama vile mlango wa friji kuwa wazi na muda uliosalia wa kuisha kwa mzunguko wa kuosha.
Ili kusaidia katika ufuaji, LG imehifadhi mashine mahiri za kufulia kama vile Mashine ya Kuosha ya Vivace na mashine nyinginezo (Ai DD™️/DD) mashine nyingine za kufulia za AI DD™️ / DD ambazo hutambua aina ya kitambaa cha watumiaji na kupendekeza kozi bora zaidi ya kufulia.


Pia hutatua masuala madogo haraka kabla hayajaongezeka.
Kwa watumiaji wanaotaka kuweka vyakula na matunda vikiwa vipya kwa muda mrefu, LG imethibitisha kundi la Friji mahiri zilizoundwa kuunganishwa kwenye simu janja ya mtumiaji ili kudhibiti halijoto ya friji, kudhibiti Express Freeze, na kupokea uchunguzi wowote wa friji na chakula cha mtumiaji, taarifa za tarehe ya kumalizika muda wake. Hii inajumuisha LG Net 426(L) | Fridge Slim French Door, pamoja na InstaView Door-In-Door™️ ambayo kwa simu mahiri inayooana iliyounganishwa kwenye programu ya LG SmartThinQ™️, watumiaji wanaweza kurekebisha mipangilio ya halijoto wakiwa mbali ili friji iwe tayari kuchukua mkondo mkubwa wa ununuzi.
Vipengele vingine bora ni pamoja na mlango wa kisasa wa Ufaransa wenye chaguo bunifu za kuhifadhi kama vile Rafu inayokunjwa ambayo inaweza kujikunja yenyewe kwa ajili ya kuhifadhi vitu virefu zaidi na Mfumo wa Barafu wa Slim SpacePlus™️ ambao umejengwa ndani ya mlango wa friji ili watumiaji waweze kutumia rafu nzima ya juu.
Kulingana na Sa Nyoung Kim, teknolojia hii ya hivi punde ya msingi inayoangazia programu mpya na za kijanja husaidia kaya kuhifadhi nishati, na maji na ni rafiki wa mazingira huku ikitumika kwa urahisi, hivyo basi kukuza malengo muhimu ya maendeleo endelevu.

 

Monday, March 21, 2022

TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR

  Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa vyombo vya habari lenye lengo la kutoa huduma za upimaji na uandaaji wa viwango. Hafla hiyo imefanyika makao makuu wa Shirika hilo jijini Dar es Salaam leo.

 

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Viola Masako akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa vyombo vya habari lenye lengo la kutoa huduma za upimaji na uandaaji wa viwango. Hafla hiyo imefanyika makao makuu wa Shirika hilo jijini Dar es Salaam leo.

 

Meneja Viwango wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Yona Afrika akitoa elimu ya umuhimu wa ushirikshi kwenye uandaaji wa viwango wakati wa jukwaa la wahariri wa vyombo vya habari lenye lengo la kutoa huduma za upimaji na uandaaji wa viwango. Hafla hiyo imefanyika makao makuu wa Shirika hilo jijini Dar es Salaam leo.

 

Meneja Upimaji wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Makene akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa vyombo vya habari lenye lengo la kutoa huduma za upimaji na uandaaji wa viwango. Hafla hiyo imefanyika makao makuu wa Shirika hilo jijini Dar es Salaam leo.

 

Baadhi ya Viongozi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wakiwa katika picha ya pamoja na wahariri wa vyombo vya habari baada ya kumaliza jukwaa hilo.