Wednesday, September 13, 2017

SIMBA WANDELEA NA MAZOEZI BAADA YA SIKU CHACHE KUTOKA SALE NA AZAM

 Kocha wa Simba, Joseph Omog kushoto akitoa maelekezo mchezaji wake

  Kocha wa Simba, Joseph Omog kushoto akitoa maelekezo mchezaji wake, Said Ndemla


 Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi ya kukimbia
 Kumiliki mpira
  Kocha, Omog kushoto akimwambia kipa wa timu hiyo kuwa umenenepa


  Tunafanyaga hivi

 Mwinyi Kazimoto akiluka

 Mohamed Hussein

  Kotei

  Wakikontroo mpira





  Kipa wa Simba Aishi Manula











Sunday, September 10, 2017

KAMPUNI YA UJENZI YA SINGHS & SONSI YAANZA UJENZI WA BARABARA YA KITUNDA HADI KIVULE KWA KIWANGO CHA RAMI

Wakazi wa Kitunda Dar es Salaam wakiliangalia
Katapila la Kampuni ya Ujenzi ya Singhs & Sons likichonga barabara kutoka Kitunda kati mpaka kivule jijini Dar es Salaam kwa kwa ajili ya ujenzi wa kiwango cha rami. Picha na Jumanne Juma

Saturday, September 9, 2017

SIMBA NA AZAM HAKUNA MBABE MCHEZO ULIOFANYIKA CHAMAZI

 Kikosi Cha Simba

 Kikosi Cha Azam FC
 Kocha wa Azam FC, Aristica Cioba

 Mshambuliaji wa Azam FC, Yahaya Mohamed katikati akiwatoka mabeki wa Simba katika mchezo wao wa ligi Kuu
 Nahodha wa Simba, Method Mwanjali chini akimzibiti Mshambuliaji wa Azam FC, Mbaraka Yusuph katika mchezo wao wa ligi Kuu jana timu hizo zilitoka sele ya bila kufungana
 Mashabiki wa Simba
 Mashabiki wa Azam FC

 Mshambuliaji wa Azam FC, Yahaya Mohabed kushoto akijalibu kumtoka beki wa Simba, Salim Mbonde katika mchezo wao wa ligi Kuu uliofnyika Chamazi


Mashabiki wa Simba


Thursday, September 7, 2017

AZAM FC WAPIGA TIZI LA KUIUWA SIMBA SEPTEMBA 9

 Kocha wa Azam FC, Mromania. Aristica Cioaba, akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mazoezi ya timu hiyo yaliofanyika katika Uwanja wao wa Chmazi
Wachezaji wa timu ya Azam FC, wakifanya mazoezi katika Uwanja wao wa Chamazi Dar es Salaam juzi usiku

 Wachezaji wa timu ya Azam FC, wakifanya mazoezi katika Uwanja wao wa Chamazi Dar es Salaam juzi usiku Picha zote na Jumanne Juma

MEYA WA JIJI LA DAR ES SALAAM AKUTANA NA MEYA WA XIN"AN ZHU HUAN

 Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita akisalimiana na Meya wa jiji la Xin'an Zhu Huan alipomtembelea ofisini kwale leo na kufanya nae mazungumzo



Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita akisalimiana na Meya wa jiji la Xin'an Zhu Huan alipomtembelea ofisini kwale leo na kufanya nae mazungumzo

YONO YAPIGA MNADA NYUMBA ZA LUGUMI



Mkurugenzi wa Kampuni ya Udalali ya Yono Auction Mart, Christina Kevela, akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusu kuuza Mali za Kampuni za Ligumi itakayo anza Septemba (9)  jijini Dar es Salaam. Picha zote na Jumanne Juma
  


Mkurugenzi wa Yono Auction Mart, Christina Kevela



Mkurugenzi wa Yono Auction Mart, Christina Kevela



Mkurugenzi wa Yono Auction Mart, Christina Kevela


Mkurugenzi wa Yono Auction Mart, Christina Kevela

TIMU YA UHAMIAJI WANAWAKE WAENDELEZA MAZOEZI KATIKA UWANJA WA UHURU DAR ES SALAAM

 Wachezaji wa timu ya wanawake ya mamraka ya uhumiaji wakifanya mazoezi ya viungo


Wachezaji wa timu ya wanawake ya mamraka ya uhumiaji wakifanya mazoezi ya viungo