Baadhi ya wanajumuiya ya Khoja wakitoa damu wakati juhuiya hiyo ilipojitolea damu kwa ajili ya mfuko wa Taifa Dar es Salaam jana Picha na Double J Blog
Mtaalamu wa afya jutoka Wizara ya afya na ustawi wa jamii, Peter Chawai akimtoa damu mmoja wa jumuiya hiyo
Baadhi ya wanajumuiya ya Khoja wakisubili kujiandikisha kutoa damu wakati juhuiya hiyo
ilipojitolea damu kwa ajili ya mfuko wa Taifa Dar es Salaam jana Picha
na Double J Blog
Sunday, September 24, 2017
Friday, September 22, 2017
WANAFUNZI VIZIWI WASHEREHEKEA SIKU YA VIZIWI DUNIANI
Wanafunzi wa Shule ya msingi viziwi Buguruni Dar es Salaam wakicheza ngoma wakati wa maandimisho ya siku ya viziwi duniani septemba 22
Diwani wa Kata ya Buguruni, Adam Rajabu (katikati), akicheza muziki wa wanafunzi wa viziwi wakati wa maadhimisho yao duniani kote
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi, Mirembe Kulwa, akicheza muziki na wanafunzi viziwa wa Shule hiyo wakati wa maadhimisho ya siku ya viziwi duniani
Diwani wa Kata ya Buguruni, Adam Rajabu (katikati), akicheza muziki wa wanafunzi wa viziwi wakati wa maadhimisho yao duniani kote
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi, Mirembe Kulwa, akicheza muziki na wanafunzi viziwa wa Shule hiyo wakati wa maadhimisho ya siku ya viziwi duniani
YANGA TIZI KALI SANAA KWA KUIANGAMIZA NDANDA FC
Wachzaji Yanga, Obrey Chirwa (kushoto) na Nahodha wa timu hiyo, Nadiri Cannavaro wakiwania mpira wakati wa mazoezi ya timu hiyo jijini Da res Salaam
Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina na Meneja wa timu, Hafidhi Saleh, wakizungumza na mchezaji wao, Pato Ngonyani, wakati wa mazoezi ya timu hiyo
Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina na Meneja wa timu, Hafidhi Saleh, wakizungumza wakati wa mazoezi ya timu hiyo. Picha zote na Double J Blog
Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina na Meneja wa timu, Hafidhi Saleh, wakizungumza na mchezaji wao, Pato Ngonyani, wakati wa mazoezi ya timu hiyo
Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina na Meneja wa timu, Hafidhi Saleh, wakizungumza wakati wa mazoezi ya timu hiyo. Picha zote na Double J Blog
Thursday, September 21, 2017
TIMU YA TAIFA YA RIADHA WAENDELEA KUFANYA MAZOEZI UWANJA WA TAIFA
Mwanariadha wa timu ya Taifa akitimua mbio wakai alipokuwa akifanya mazoezi
Mwanariadha wa timu ya Taifa akitimua mbio wakai alipokuwa akifanya mazoezi
Mwanariadha wa timu ya Taifa akitimua mbio wakai alipokuwa akifanya mazoezi
Wanariadha wa timu ya Taifa wakijiandaa kutimua mbio wakai walipokuwa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Picha na Double J Blog
Wanariadha wa timu ya Taifa wakitimua mbio wakai walipokuwa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Picha na Double J Blog
Mwanariadha wa timu ya Taifa akitimua mbio wakai alipokuwa akifanya mazoezi
Mwanariadha wa timu ya Taifa akitimua mbio wakai alipokuwa akifanya mazoezi
Wanariadha wa timu ya Taifa wakijiandaa kutimua mbio wakai walipokuwa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Picha na Double J Blog
Wanariadha wa timu ya Taifa wakitimua mbio wakai walipokuwa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Picha na Double J Blog
MABONDIA WA TIMU YA TAIFA WAFANYA MAZOEZI YA KUJIANDAA NA MICHUANO YA MADOLA
Mabondia wa timu ya Taifa, Ismair Ngalikama (kulia) na Mwarami Ngayama, wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Ndani wa Taifa Dar es Salaam jana kwa maandalizi ya michuano ya madola.
Mabondia wa timu ya Taifa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa ndani wa Taifa Dar es Salaam jana. Picha zote na Double J Blog
Mabondia wa timu ya Taifa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa ndani wa Taifa Dar es Salaam jana
YANGA WAENDELEZA MAZOEZI KATIKA UWANJA WA UHURU
Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina kulia akimpa maelekezo mchezaji wake, Ninja
Kipa wa Yanga, Beno Katolanya
Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina kulia akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Uhuru jana
Ngoma kushoto akiwatoka wenzake
Ngoma kushoto akipamban na Hassan Kessy
Kocha wa Yanga, Lwandamina kulia na Kamusoko wakijadili jambo
Kipa wa Yanga, Beno Katolanya
Kocha wa Yanga, Geogre Lwandamina kulia akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mazoezi katika Uwanja wa Uhuru jana
Ngoma kushoto akiwatoka wenzake
Ngoma kushoto akipamban na Hassan Kessy
Kocha wa Yanga, Lwandamina kulia na Kamusoko wakijadili jambo
Subscribe to:
Posts (Atom)